Текст пісні Zaidi - Jux

Zaidi - Jux
Інформація про пісню На цій сторінці ви можете ознайомитися з текстом пісні Zaidi, виконавця - Jux
Дата випуску: 17.03.2019
Мова пісні: Суахілі

Zaidi

Na na na nax4
Zinanitoka goose bumps, Nikisikia jina lako
Mi ninaweukaa, Kabisa mi ni chizi wako
Na kama ni mganga eeeh, Mzuri huyo mganga wako
Sio kwa kunipumbaza huku (Baby mmhh)
Mommy ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh
Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh
Baby ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh
Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh
Kama ni pilipili maa, Acha ukali niusikie
Kama nivita mama, Acha adui wanivamie
Kama we ni asali maa, Acha na nyuki wanivamie
Lakini penzi lako baby, Ata kidogo lisipungue
No no nooooo
Zaidi X4
Nipe X2
Zaidi X2
Wewe zaidi zaidiii
Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)
Nanyosha mikoni juu, kwako me nimesurrender
Naona maajabu, Sungura kazidiwa ujanja
Nimekuwa zuzu zuzu zuuu, Nimekuwa bubu bubu buuu
Nimekuwa mbumbu mbuu baby ehh, Nimekuwa zaidi ya nyumbu
Sioni sisikiii… (aaah)
Sioni sisikiii baby eeeh
Kama ni pili pili maa, Acha ukali niusikie
Kama nivita mama (na na na na), Acha adui wanivamie
Kama we ni asali maa, Acha na nyuki wanivamie
Lakini penzi lako baby, Ata kidogo lisipungue
Zaidi X4
Nipe X2
Zaidi X2
Wewe zaidi zaidiii
Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)
Mommy ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh
Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh
Baby ongeza ubuyu, nizidi kuumumunya eeeh
Tena na sukari guru, Utamu nikitafuna eeeh (Mmmmh)

Поділіться текстом пісні:

Напишіть, що ви думаєте про текст пісні!

Інші пісні виконавця:

НазваРік
#Umenikamata 2017
Fimbo 2018
Sugua ft. Diamond Platnumz 2019