MUZTEXT
Текст пісні Hey You - Kenzo
Інформація про пісню На цій сторінці ви можете ознайомитися з текстом пісні Hey You , виконавця -Kenzo У жанрі:Танцевальная музыка
Виберіть якою мовою перекладати:
|
| Imenibidi mimi niseme, ninyamaze nani aseme |
| mambo gani haya jamani? Wanaume tumezoea |
| mali ya mwenzio si yako, so wacha kunyemelea |
| kama ni yako, ni yako |
| na kama si yako, wachana nayo |
| CHORUS LYRICS: |
| Hey you, mi nasema nawe… |
| usiwe mwenye tamaa, mwenye tamaa… |
| mtaka vyote hukosa vyote, so tangaza msimamo |
| VERSE 2 LYRICS: |
| Ukona msichana wa kwako, na yeye ni mwaminifu |
| kazi yako kuchapa ilale, wajiita mwanaume |
| kama hujapanga kutulia, ya nini kuwapa moyo |
| kuwadanganya ovyo ovyo, mabeshte ninawaomba |
| kama wampenda, mwambie |
| na kama humpendi, mwambie |
| usije ukamvunja moyo |
| CHORUS LYRICS: |
| Hey you, mi nasema nawe… |
| usiwe mwenye tamaa, mwenye tamaa… |
| mtaka vyote hukosa vyote, so tangaza msimamo |
| Hey you, mi nasema nawe… |
| usiwe mwenye tamaa, mwenye tamaa… |
| mtaka vyote hukosa vyote, so tangaza msimamo |
Напишіть, що ви думаєте про текст пісні!